Alhamisi, 8 Juni 2017

NAIBU waziri wa habari,burudani na michezo wa serikali ya wanafunzi ROCOTASO , katika Chuo cha Royal Baraka Mathay o ametoa tamko juu ya michezo itakayo chezwa mei 9 mwaka huu.

Na  Dionesia Mwala

  

Akizungumza na  Mwanaroyal  chuoni hapo Urafiki  jijini Dar es salaam Mathayo alisema michezo hiyo itajumuisha Mpira wa  miguu, Rede, na  mpira  wa kikapu michezo ambayo itampa fulsa ya kila  mwanafunzi aweze kujijenga kiafya na  kiakili pia.

Aidha aliongeza kua mchezo huo utakua wa  kuwakalibisha wanafunzi wapya ambao ni  wageni  pamoja na  wenyeji  ambao watajenga timu ya kikosi cha Royal FC itayokua timu  ya chuo.

Pia alisema kwa mujibu wa  kocha wa  kikosi wa  timu hiyo Rajabu Mnakane ambaye ni  kiongozi wa  timu  hiyo  anatarajia kuona mchezo mzuri.

"Natoa  wito kwa wanafunzi wanaoweza kucheza michezo niliyoitaja wajitokeze kwa wingi  kujiandikisha pia siku ya ijumaa kwa wingi  katika kukamilisha mchezo wa  siku hiyo tuweze kupata timu  ya Chuo,alisema Mathayo.

Hata  hivyo   Naibu waziri huyo alisema kutokana na kusua sua kwa michezo katika upande wa wasichana wizara hiyo imeongeza  mchezo wa  rede ili kuwawezesha kucheza michezo ambayo itawajengea ukakamavu.

"Pia napenda niwambie wanafunzi wasiangalie kipaumbele  pia katika  michezo sio  katika masomo tu michezo ni  sehemu ya elimu," alisema Mathayo.

Kwa upande  wake msimamizi wa  timu ya rede Elizabeth  Joseph  alisema baadhi ya wasichana wameanza kujitokeza na  kusema kua mchezo huo  utawajenga kiafya na  kiakili kwa wanafunzi.

pia aliongeza kua mchezo wa  rede unaweza kuchezwa na  with hata  wa  3   hivyo endapo watu hawatojitokeza   kwa wingi unaweza kuchezwa na wachache kutokana na  mchezo huo  ulivyo

" wanafunzi wamejitoeza binafsi napenda rede nawasihii wanafunzi waje  kujiandikisha kwa wingi  ila  endapo hawatojitokeza navyojua mchezo wa rede hata  tukiwa watatu tunaweza kucheza,"alisema Joseph.

Aidha Joseph aliitaka serikali mpya  ya wanafunzi kuboresha michezo mbalimbali chuoni. hapo hususa katika upande wa  wasichana jambo ambalo limekua changamoto chuoni hapo  katika serikali zilizopita.

Nae mmoja wa  wanafunzi ambaye ni  wa  kitivo cha  uwaandishi wa  habari chuoni hapo Mwanahamis Mohamed  amewaasa wanafunzi kujitokeza kwa wingi  katika  mchezo huo ili kufurahi pamoja

Pia alisema fulsa  za michezo zimekua hazipatikani Mara kwa Mara katika vyuo  vingi  itachangia kujenga umoja  na  kusema kua wizara ya michezo imesikia kilio chao.

Mohammed  alisema katika mchezo huo atashiriki vyema kabisa ambaye  amejiandikisha katika mchezo huo  na  amejianda vyema katika mchezo wa rede.

" Nawashauri wasichana wenzangu wajitokeze kwa wingi  kwa sababu fulsa kama  hizi  hua hazijitokezi Mara nyingi na waziri amesikia kilio cha wanafunzi cha muda  mrefu," alisema Mohammed.

Mwanaroyal haikuishia apo ilizungumza na  mmoja ya wachezaji katika upande wa  miguu Johnson Johnson ambae ni mwanafunzi wa  wa  muhula wa mwisho ambaye aliipongeza wizara kwa kuliona jambo hilo.

Aisha Johnson aliwasihii wanafunzi wa  muhula mpya kujitokeza kwa wingi  katika mechi  hiyo ili kuwajengea kujuana na  kuweza kupata kikosi kimoja kwa ambacho kitakua kikiwakilisha Chuo katika michezo mbali mbali.

" Mi nawasihii wanafunzi waje kwa wingi  katika huu mchezo na  wachezaji wajitokeze tuweze kupata hamasa ya kucheza pambano ambalo tulikua tukisubiri kwa muda  mrefu",alisema Johnson.

Hata  hivyo  Johnson  aliishukuru  serikali  mpya kwa kuaanda michezo hiyo ambapo  utawafanya wanafunzi kua na  umoja na  kuweza   kushirikiana   katika mbalimbali.

Raisi 16 wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha Royal ROOCOTASO, Mustapha Mwakibete, ametangaza na kuwaapisha mawaziri wa serikali ya wanafunzi wa ROCOTASO lenye jumla ya mawaziri 10 na manaibu waziri 10 katika wizara 10 ambao wanaunda serikali hiyo.





 Na  Amos Nyanduku
Zoezi hilo zililofanyika katika ukumbi wa kamongo  mei 31 ambapo mawaziri  hao warikula kiapo cha uaminifu mbele ya Rais wa serikali hiyo na wanafunzi  wa chuo hicho.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa zoezi hilo Rais Mustapha alisema kwa sasa  kazi imeanza na kuwataka mawaziri hao kufanya kazi na kupeleka ripoti ya utekelezaji wa kila wizara kwa mwezi ili kutathimini utekelezaji wa wizara moja moja.

"Kwa sasa kila wizara itakuwa inaleta ripoti kwa kila mwezi kwenye ofisi ya Rais na kwa  pamoja tunatafakari na kuona wapi pamefanikiwa na wapi tumekwama kama serikali na  kutafuta njia nyingine ya kulitekeleza kwa pamoja"

Aidha Mwakibete aliwataka wanafunzi wa chuo hicho kufuta taratibi ma sheria za chuo  hicho ikiwemo suala la uvaaji vitamburisho pindi mwanafunzi anapokuwa maeneo ya chuo.

Mwakibete aliwataka mawaziri hao kutekeleza majukumu yao kulingana na katiba na sheria za  ROCOTASO ambapo alisema kwa sasa kila waziri atatakiwa kuwasirisha ripoti ya utekelezaji kwa  kila mwezi.

kwa upande wake mmoja wa mawaziri waliokula kiapo kuwa waziri wa elimu wa serikali  ROCOTASO, Amani Makala aliwataka wanafunzi wa chuo hicho kutoa ushirikiano ili  serikali iweze kutekeleza majukumu yake.

"Sisi ni wawakirishi wa wanafunzi ushirikiano wao na sisi ndio kitu cha msingi kitakacho  tufanya ukukamilisha yale serikali iliyo yapangilia kupitia ilani ya uchaguzi hasa kwa masuala mazima ya elimu," alisema makala

Aidha Makala aliwasisitiza wanafunzi wa chuo hicho kuitumia serikali hiyo katika kutatua migogoro baina ya  walimu na wanafunzi kwa kufanya hivyo  itaepusha migogoro  kati ya  mwanafunzi na mwalim ambayo hupelekea baadhi ya mwanafunzi kutofanya vizuri kwenye  somo husika.

"Kama mwanafunzi anatatizo na mwalim fulani anatakiwa kwanza afikishe kwenye wizara husika ili serikali iwe inajua kinachoendelea kwani hiyo ndio njia sahihi ya kupunguza incomplete na sup  zinazotokana na migogoro kati ya mwalim na mwanafunzi, " alisema Makala.

Makala alipongeza hatua ya rais wa ROCOTASO kumweka atika baraza la mawaziri na kuahidi atatekeleza ilani ya uchaguzi hasa katika wizara yake ambayo ndio mama katika ilani ya serikali iliyopo madarakani.

kwa upande wa wanafunzi wa chuo cha Royal walipongeza hatua hiyo ya Rais wa chuo hicho kuteua baraza la mawaziri na kulitaka kutekeleza majukumu yao ikiwemo pamoja na kuhakikisha ahadi zilizo ahidiwa zinatekelenzwa.

akizungumza na Mwanaroyal gazeti mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho, John Chusi,  alisema kwa sasa serikali  imeshakamilika hivyo rais kupitia baraza lake atekeleze ahadi zake na kushughurikia  na kuzitatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa chuo hicho.

"Kwa sasa serikali iko tayari kwa kazi hivyo Rais anatakiwa kutumia baraza lake vizuri ili kufanuki  na kutimiza yote aliyotwahidi wanafunzi hasa kwa sasa kuna changamoto nyingi zinazotukabili kama wanafunzi kupitia hili baraza atatimiza kwa sasa tumpe muda kwanza, " alisema Chusi.

Aidha chusi alitaja baadhi ya changamoto ambazo angependekeza serikali baraza la mawaziri lianze kuzitatua ikiwemo suala la ucheleweshwaji na upatikanaji vitamburisho, ikiwa pamoja na suala zima la serikali kusimamia
suala hilo.

Hata hivo mmoja wa wajambuzi wa masuala ya siasa wa chuo cha Royal Alfred pitter alitoa tasimini yake kwa baraza mpya ambalo liliteuliwa may 31 mwaka huu na kupongeza hatua hiyo ambayo alisema itaimalisha utekelezaji wa majukumu ya serikali.

"Nampongeza Rais Mustapha kwa kuteua baraza dogo na lenye mawazirri ambao wanaweza kukidhi mahitaji yawanafunzi na kuzitatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa chuo hicho, ? Alisema Pitter.

pitter alisema Rais wa serikali ya wanafunzi ROCOTASO anachangamoto kubwa ya kutekeleza ilani yake ya uchaguzi ambayo imeainisha mambo mengi hivyo hana budi kulitumia baraza hilo kikamilifu na pia kuwasimamia mawaziri wake ikiwa pamoja na kila waziri kujua majukum yake kikamlifu.

"Mawaziri wote lazima wayajue majukum yao na nini kinatakiwa kufanyika ili kumpunguzia mzigo Rais kwa kuanza kufatilia kila kitu hivyo lazima kila wizara kupitia mawaziri wake watekeleze majukum yao na kujua mipaka ya kuyatekeleza yote haya, " Alisema Pitter

Uchaguzi mkuu wa Ris na makam wa Rais wa serikali ya wanafunzi ROCOTASO ulifanyika mnamo Mei 12 mwaka huu ambapo wanafumzi wa chuo cha Royal waliwachagua w`awakirishi wao katika nafasi hizo na zoezi la kula kiapo kwa Rais na makam wa Rais likafuata siku 2 baadae.

Uchaguzi mkuu wa ROCOTASO hufanyika kila baada ya miezi 12 kama katiba ya serikali ya wanafunzi ROCOTASO ambayo ni moja ya hatua ya kidemokorasia katika chuo hicho.







Mwanaroyal Gazeti ...Wiki hii 08/06/2017















posted By Amos Nyanduku










Na Amos Nyanduku

 Raisi 16 wa serikali ya wanafunzi wa chuo cha Royal ROOCOTASO, Mustapha Mwakibete,  ametangaza na kuwaapisha mawaziri  wa serikali ya wanafunzi wa ROCOTASO  lenye jumla ya mawaziri 10 na manaibu waziri 10 katika  wizara 10 ambao wanaunda serikali hiyo.

Zoezi hilo zililofanyika katika ukumbi wa kamongo  mei 31 ambapo mawaziri  hao warikula kiapo cha uaminifu mbele ya Rais wa serikali hiyo na wanafunzi  wa chuo hicho.

Akizungumza baada ya kumalizika kwa zoezi hilo Rais Mustapha alisema kwa sasa  kazi imeanza na kuwataka mawaziri hao kufanya kazi na kupeleka ripoti ya utekelezaji wa kila wizara kwa mwezi ili kutathimini utekelezaji wa wizara moja moja.

"Kwa sasa kila wizara itakuwa inaleta ripoti kwa kila mwezi kwenye ofisi ya Rais na kwa  pamoja tunatafakari na kuona wapi pamefanikiwa na wapi tumekwama kama serikali na  kutafuta njia nyingine ya kulitekeleza kwa pamoja"

Aidha Mwakibete aliwataka wanafunzi wa chuo hicho kufuta taratibi ma sheria za chuo  hicho ikiwemo suala la uvaaji vitamburisho pindi mwanafunzi anapokuwa maeneo ya chuo.

Mwakibete aliwataka mawaziri hao kutekeleza majukumu yao kulingana na katiba na sheria za  ROCOTASO ambapo alisema kwa sasa kila waziri atatakiwa kuwasirisha ripoti ya utekelezaji kwa  kila mwezi.

kwa upande wake mmoja wa mawaziri waliokula kiapo kuwa waziri wa elimu wa serikali  ROCOTASO, Amani Makala aliwataka wanafunzi wa chuo hicho kutoa ushirikiano ili  serikali iweze kutekeleza majukumu yake.

"Sisi ni wawakirishi wa wanafunzi ushirikiano wao na sisi ndio kitu cha msingi kitakacho  tufanya ukukamilisha yale serikali iliyo yapangilia kupitia ilani ya uchaguzi hasa kwa masuala mazima ya elimu," alisema makala

Aidha Makala aliwasisitiza wanafunzi wa chuo hicho kuitumia serikali hiyo katika kutatua migogoro baina ya  walimu na wanafunzi kwa kufanya hivyo  itaepusha migogoro  kati ya  mwanafunzi na mwalim ambayo hupelekea baadhi ya mwanafunzi kutofanya vizuri kwenye  somo husika.

"Kama mwanafunzi anatatizo na mwalim fulani anatakiwa kwanza afikishe kwenye wizara husika ili serikali iwe inajua kinachoendelea kwani hiyo ndio njia sahihi ya kupunguza incomplete na sup  zinazotokana na migogoro kati ya mwalim na mwanafunzi, " alisema Makala.

Makala alipongeza hatua ya rais wa ROCOTASO kumweka atika baraza la mawaziri na kuahidi atatekeleza ilani ya uchaguzi hasa katika wizara yake ambayo ndio mama katika ilani ya serikali iliyopo madarakani.

kwa upande wa wanafunzi wa chuo cha Royal walipongeza hatua hiyo ya Rais wa chuo hicho kuteua baraza la mawaziri na kulitaka kutekeleza majukumu yao ikiwemo pamoja na kuhakikisha ahadi zilizo ahidiwa zinatekelenzwa.

akizungumza na Mwanaroyal gazeti mmoja wa wanafunzi wa chuo hicho, John Chusi,  alisema kwa sasa serikali  imeshakamilika hivyo rais kupitia baraza lake atekeleze ahadi zake na kushughurikia  na kuzitatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa chuo hicho.

"Kwa sasa serikali iko tayari kwa kazi hivyo Rais anatakiwa kutumia baraza lake vizuri ili kufanuki  na kutimiza yote aliyotwahidi wanafunzi hasa kwa sasa kuna changamoto nyingi zinazotukabili kama wanafunzi kupitia hili baraza atatimiza kwa sasa tumpe muda kwanza, " alisema Chusi.

Aidha chusi alitaja baadhi ya changamoto ambazo angependekeza serikali baraza la mawaziri lianze kuzitatua ikiwemo suala la ucheleweshwaji na upatikanaji vitamburisho, ikiwa pamoja na suala zima la serikali kusimamia
suala hilo.

Hata hivo mmoja wa wajambuzi wa masuala ya siasa wa chuo cha Royal Alfred pitter alitoa tasimini yake kwa baraza mpya ambalo liliteuliwa may 31 mwaka huu na kupongeza hatua hiyo ambayo alisema itaimalisha utekelezaji wa majukumu ya serikali.

"Nampongeza Rais Mustapha kwa kuteua baraza dogo na lenye mawazirri ambao wanaweza kukidhi mahitaji yawanafunzi na kuzitatua changamoto zinazowakabili wanafunzi wa chuo hicho, ? Alisema Pitter.

pitter alisema Rais wa serikali ya wanafunzi ROCOTASO anachangamoto kubwa ya kutekeleza ilani yake ya uchaguzi ambayo imeainisha mambo mengi hivyo hana budi kulitumia baraza hilo kikamilifu na pia kuwasimamia mawaziri wake ikiwa pamoja na kila waziri kujua majukum yake kikamlifu.

"Mawaziri wote lazima wayajue majukum yao na nini kinatakiwa kufanyika ili kumpunguzia mzigo Rais kwa kuanza kufatilia kila kitu hivyo lazima kila wizara kupitia mawaziri wake watekeleze majukum yao na kujua mipaka ya kuyatekeleza yote haya, " Alisema Pitter

Uchaguzi mkuu wa Ris na makam wa Rais wa serikali ya wanafunzi ROCOTASO ulifanyika mnamo Mei 12 mwaka huu ambapo wanafumzi wa chuo cha Royal waliwachagua w`awakirishi wao katika nafasi hizo na zoezi la kula kiapo kwa Rais na makam wa Rais likafuata siku 2 baadae.

Uchaguzi mkuu wa ROCOTASO hufanyika kila baada ya miezi 12 kama katiba ya serikali ya wanafunzi ROCOTASO ambayo ni moja ya hatua ya kidemokorasia katika chuo hicho.







Jumamosi, 11 Februari 2017

Na Nyanduku Amos

Kijugu: jiandaeni kufanya mubashara

MSIMAMIZI wa vipindi vya radio wa chuo cha Rpyal,  RCT,  Samuel kijugu amesema
mubashara utaendelea kuwepo pindi  umeme ukikatika chuoni hapo.

Awali  kurikuwa na utaratibu wa kupendekeza maada ambayo imeandaliwa na darasa
husika na kujadiliwa na wanafunzi wote pindi ambapo kunakuwepo na ukosefu wa umeme
chuoni hapo.

Kijugu alisema hayo wakati akizungumza na wanafunzi katika ukumbi wa kamongo jana,
 na kubainisha kuwa kwa sasa vipindi vya radio vitakuwa vikiruka hata kama hakuna
umeme hivyo amewataka wanafunzi kuwa tayari na kuacha mazoea ya kuandaa maada
 pindi ambapo kuna tatizo la  umeme.

“napenda mubashara iwepo ili kuimalisha ufanishi na ujasili wa wanafunzi katika kufanya
vipindi n ahata uwasilishaji wake kwani kupitia mubashara wanafunzi watakuwa na
confidence ya kusimama mbele za watu sehemu yoyote ile,”alisema na kuongeza kuwa ni
lazima wanafunzi wote wa kitivo cha habari kuwa na ujasili wa kusimama mele za watu na
kuwasilisha kipindi chake.

Aidha kijugu aliwapongeza wanafunzi wa kitivo cha uandishi wa mhula wa septemba kwa
kurusha vipindi vyao mubashara na kuwataka wanafunzi wengine kuiga mfano huo

“huu ni ubunifu mkubwa ambao wenzenu wameuonyesha kama wanafunzi ni lazima
kuinga ufanyaji wa vipindi live kama wenzenu walivyofanya leo hapa,” alisema kijugu.

Mbali na hayo kijugu aliwataka wanafunzi kuendelea kufuata sharia na taratibu ikiwa
pamoja na kuwasilisha habari mapema kwaajili ya kupitiwa na kurekebishwa makossa
mapema kabla ya muda wa kufanya Makala ya wanafunzi kufika.

“napenda kusisitiza na kuwakumbusha wanafunzi kuleta habari  zao kwa wakati ili kupitiwa
 na kurekebishwa makossa mapema, hii itawapa nafasi ya  kufanya marekebisho mapema,”
 alisema kijigu.

Kwa upande wake mmoja wa wanafunzi ambao walishiriki katika ufanyaji wa vi[pindi
mubashara, Diana Morsad, alisema kufanya vipindi mubashara imewapa ujasili mkubwa
ikiwa pamoja na kuongeza umakini pindi wanapokuwa wakiwasilisha vipindi vyao.

“yaanii kufanya vipindi live kumenipa ujasili sana kwani nilikuwa naogopa sana kufanya
kipindi changu, ila kwa sasa sin ahata hofu naweza kusimama sehemu yoyote na kuwasilisha
 kipindi changu bila uoga,” alisema Morsad.

Aidha Morsad aliwataka wanafunzi wengine kuinga mfano huo kwani unawapa ujasili
wa kusimama mbele za watu na kuwasilisha ki[pindi .

Morsad alisema kupitia ufanyaji wa vipindi mubashara itasaidia kuongeza ufanisi wa
vipindi vya radio na kupunguza makossa ambayo yaliyokuwa yakifanyika hapo awali
kwa wanafunzi kukosa ujasili hali inayopelekea kufanya vipindi vyenye mapungufu
makubwa.

“tukifanya hivi mara mbili naamini kutakuwa na mabadiliki makubwa kwenye ufanyaji
wetu wa vipindi na kuachana na kuwa na vipindi vibovo.”alisema Morsad